Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika
Related Posts
Ati nyinyi ni wengi hadi mama anapiga chapo moja alafu zingine zinawekwa photocopy
Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell Continue Reading..
Ushai chunwa kinyambio na mgenge😂😂😂😂😃
Ukimkuta dada amevaa miwani anakuwa na dharau sana anasahau kuwa kilichomfanya avae iyo miwani ni ugonjwa 😀😀😀🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Unalia nkikataa kupic call yako na umepiga mara moja tu, ni mara ngapi yesu amekuita na ukakataa.?
Jee ushawai panda ndege ama unangoja siku ya kwenda mbinguni????
Hii upuzi ya unauliza dame 😂 hasubui kama ame amka anakuambia oliskia wapi kwanini why🥴
