Sio sigara tu hata ukiwa na mwanamke msumbufu ni hatari kwa afya yako
Related Posts
Zamani watu wenye pesa nyingi ndo walikuwa wanatafuta wanawake wazuri, but now days wanawake ndo wanatafuta watu wenye pesa… Maisha Continue Reading..
Him: hae Her:moglobin Him: wacha hizo ww Her:zipi….unasemaje Him:unaitwa? Her:mzimu…uko nalaziada Him:Thai…Dina 😂😂😂😅
Ww sherekea kukaa nyumbani na next yr uko form 4 seoson 2 🤣🤣🤣🤣
mtoto aliagizwa hela ya mlinzi na mwalimu akaenda kumweleza baba ake, baba akamjibu kamweleze mwalimu yesu ndio mlinzi mkuu aache Continue Reading..
Mapenzi. Xi naguvu ni wamusi wako na mimi pamoja. Na roho yako
I hope my book of life ingeandikwa na kalamu ya mate kuna ka place nafaa kuvuta
Zamani wasichana walipika kama mama zao lakini saivi wanakunywa kama baba zao
Eti ukiambia dem mkamba anadai umletee surprise gani anakushw umletee maji