Kama nilikuudhi mwaka huu , kumbuka mwakani ni palepale sikufugi😂😂
Related Posts
Why fire kempinski staff for doing it we all do it, the riskier the place the better. They didn’t tell Continue Reading..
Endelea kiwaita sleepover ile siku dem atakufia kwako sijui utafanya aje!
Yanga yeti inapiga moja moja kama mgonjwa wa kisukali asanteni simba kwa kurejedha heshima ya wanaume
Tumbili zikiwa tatu bado ni tumbili au ni tutatu ? Hii kitu inanikula kichwa sana
Some ladies will be there like..”I have inner beauty” my sister, kwani wewe ni mutura☹
Unaninyamazia unafikiria ntakumiss unashtuka nilikusahau 😂😂😂💔💔
Ata ukiskia hawa watoto wa shule wamewekwa mimba sijui ngapi ,hii kitu Kuna mahali inafikanga inakosa break
Mapenzi yanaweza kukupa stress hadi mama ako akikuuliza what is wrong. …… unaeza mjibu Mama we bado mdogo huezi elewa